Baadhi ya maeneo ya Marekani yalifunikwa na theluji wikendi hii huku dhoruba kali ya msimu wa baridi ikikumba nchi nzima. Wakazi katika miji ya Syracuse, New York walipambana na upepo mkali kulima ...
TUME ya Rais ya Maboresho ya Kodi, imefika mkoani Pwani, kwa ajili ya kukusanya maoni, pamoja na kupokea mapendekezo ya namna ya kuboresha masuala ya kodi nchini. Tume hiyo ikiongozwa na Makamu ...
Jumuiya ya Shia Imami Ismaili nchini Tanzania imezindua Fanoos katika Jamatkhana ya kihistoria ya Upanga, hafla iliyokuwa sehemu ya mpango wa Global Encounters. Fanoos, taa ya mfano inayowakilisha ...
To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 video ...
BBC haihusiki na taarifa za kutoka mitandao ya nje. Soma kuhusu mtazamo wetu wa viambatanishi vya nje.
Dar es Salaam. Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) limetangaza kusitisha utoaji wa fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki ...
Dodoma. Baada ya mchakato wa muda mrefu hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la mwaka 2023, huku akitaja mambo matatu yalimsukuma kutaka kufanyika ...
Milio ya risasi imesikika Jumatatu, Januari 27, hadi katikati mwa jiji la mji mkuu wa Kivu Kaskazini, huku kundi la M23 na vikosi maalum vya Rwanda vikiwa katika vitongoji kadhaa vya Goma.
Viongozi wa kimataifa wa masuala ya kisiasa na biashara wanaokutana Davos Uswisi kwa ajili ya jukwaa la kiuchumi duniani WEF, leo wamekabiliwa na ukweli mchungu kutoka kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa ...
Benjamin Netanyahu ametangaza siku ya Jumapili jioni, Januari 26, kwamba mazungumzo na Hamas yamekwama, kuwezesha kuachiliwa kwa mateka watatu siku ya Alhamisi, wengine watatu siku ya Jumamosi ...
SK2 / S02S 30.01.2025 30 Januari 2025 Uingereza imeionya Rwanda kwamba inaweza kuathiri msaada wa dola bilioni moja kutokana na kuhusika kwake na machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya ...
DAR-ES-SALAAM : KATIBU Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa, amependekeza kuwa wafanyabiashara wadogo wapewe elimu ya sheria ya kodi, kwani wengi wao hawana ...